Muslim Library

Surah Al-Ghashiya ( The Overwhelming )

Swahili

Surah Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya count 26
Facebook Twitter Google+ Pinterest Reddit StumbleUpon Linkedin Tumblr Google Bookmarks Email
هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْغَاشِيَةِ ( 1 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 1
Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ خَاشِعَةٌ ( 2 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 2
Siku hiyo nyuso zitainama,
عَامِلَةٌ نَّاصِبَةٌ ( 3 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 3
Zikifanya kazi, nazo taabani.
تَصْلَىٰ نَارًا حَامِيَةً ( 4 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 4
Ziingie katika Moto unao waka -
تُسْقَىٰ مِنْ عَيْنٍ آنِيَةٍ ( 5 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 5
Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka.
لَّيْسَ لَهُمْ طَعَامٌ إِلَّا مِن ضَرِيعٍ ( 6 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 6
Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.
لَّا يُسْمِنُ وَلَا يُغْنِي مِن جُوعٍ ( 7 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 7
Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.
وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاعِمَةٌ ( 8 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 8
Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.
لِّسَعْيِهَا رَاضِيَةٌ ( 9 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 9
Zitakuwa radhi kwa juhudi yao,
فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍ ( 10 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 10
Katika Bustani ya juu.
لَّا تَسْمَعُ فِيهَا لَاغِيَةً ( 11 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 11
Hawatasikia humo upuuzi.
فِيهَا عَيْنٌ جَارِيَةٌ ( 12 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 12
Humo imo chemchem inayo miminika.
فِيهَا سُرُرٌ مَّرْفُوعَةٌ ( 13 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 13
Humo vimo viti vilivyo nyanyuliwa,
وَأَكْوَابٌ مَّوْضُوعَةٌ ( 14 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 14
Na bilauri zilizo pangwa,
وَنَمَارِقُ مَصْفُوفَةٌ ( 15 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 15
Na matakia safu safu,
وَزَرَابِيُّ مَبْثُوثَةٌ ( 16 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 16
Na mazulia yaliyo tandikwa.
أَفَلَا يَنظُرُونَ إِلَى الْإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْ ( 17 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 17
Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?
وَإِلَى السَّمَاءِ كَيْفَ رُفِعَتْ ( 18 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 18
Na mbingu jinsi ilivyo inuliwa?
وَإِلَى الْجِبَالِ كَيْفَ نُصِبَتْ ( 19 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 19
Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?
وَإِلَى الْأَرْضِ كَيْفَ سُطِحَتْ ( 20 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 20
Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?
فَذَكِّرْ إِنَّمَا أَنتَ مُذَكِّرٌ ( 21 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 21
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
لَّسْتَ عَلَيْهِم بِمُصَيْطِرٍ ( 22 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 22
Wewe si mwenye kuwatawalia.
إِلَّا مَن تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ ( 23 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 23
Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,
فَيُعَذِّبُهُ اللَّهُ الْعَذَابَ الْأَكْبَرَ ( 24 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 24
Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!
إِنَّ إِلَيْنَا إِيَابَهُمْ ( 25 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 25
Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.
ثُمَّ إِنَّ عَلَيْنَا حِسَابَهُم ( 26 ) Al-Ghashiya ( The Overwhelming ) - Aya 26
Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!
Facebook Twitter Google+ Pinterest Reddit StumbleUpon Linkedin Tumblr Google Bookmarks Email

Select language

Select surah